August 2026
WAKUU WA IDARA MT. WALBURGA WAKETI KUJADILI UTEKELEZAJI WA SHUGHULI MBALIMBALI.New!!
August 3, 2026
Wakuu wa idara wa Hospitali ya Rufaa ya Mt. Walburga Nyangao, Julai 30, 2026, walikutana katika ukumbi wa mikutano wa hospitali hiyo kwa ajili ya Kikao cha Timu ya Menejimenti ya Hospitali (HMT), kilicholenga kujadili utekelezaji wa shughuli mbalimbali pamoja na kupanga mikakati ya kuendelea kuboresha huduma za afya zinazotolewa kwa wananchi. Kikao hicho kilijadili […]
